<?xml version="1.0" encoding="UTF-8"?>
<feed xmlns="http://www.w3.org/2005/Atom" xmlns:dc="http://purl.org/dc/elements/1.1/">
<title>School of Education &amp; Social Sciences</title>
<link href="http://41.89.205.12/handle/123456789/1222" rel="alternate"/>
<subtitle/>
<id>http://41.89.205.12/handle/123456789/1222</id>
<updated>2026-04-27T15:20:48Z</updated>
<dc:date>2026-04-27T15:20:48Z</dc:date>
<entry>
<title>Mitindo ya Lugha ya Kidijitali katika Facebook</title>
<link href="http://41.89.205.12/handle/123456789/2231" rel="alternate"/>
<author>
<name>Mahero, Bernard Toboso</name>
</author>
<id>http://41.89.205.12/handle/123456789/2231</id>
<updated>2023-12-05T10:36:44Z</updated>
<published>2021-01-01T00:00:00Z</published>
<summary type="text">Mitindo ya Lugha ya Kidijitali katika Facebook
Mahero, Bernard Toboso
Uvumbuzi wa teknolojia ya intaneti umesababisha kuzuka kwa lugha mpya katika mitandao, ambayo sasa inarejelewa kama lugha ya kidijitali. Kitabu hiki kinajadili mitindo mbalimbali ya kimawasiliano inayotambulisha lugha ya kidijitali katika mtandao wa Facebook. Katika kufanya hivi, kitabu kinabainisha sababu ambazo zimechangia kuibuka kwa lugha hii na kufafanua matatizo ya kimawasiliano yanayotokana na matumizi ya mitindo anuwai ya kimawasiliano katika Facebook. Kitabu hiki, kadhalika, kimeangaza kwa kina ruwaza za lugha ya kidijitali na kubainisha kategoria za mitindo yenyewe
</summary>
<dc:date>2021-01-01T00:00:00Z</dc:date>
</entry>
</feed>
